Natafuta kazi

Natafuta kazi

Seema uko mbali, ningekuunganisha na mzee mmoja hivi Yuko Mpanda alikuwa anatafuta binti kwaajili ya ofisi yake. Yeye ananunua dhahabu pale Mpanda mjini
Mkuu hiyo kidogi ipo nje ya uwezo wangu
Ningependa sana lakin ndio hivyo mkuu
Ila nashukuru sana mpendwa
 
Ni mtu mzima anajielewa,usimfundishe maisha.Anajua kukataa na kukubali,mpaka amefikia hapo ameshakutana na changamoto nyingi.
Wengine hawatakupa kazi bidada kuwa makini.. Mmbwa mwitu wenye ngozi za kondoo wengi humu jf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom