mbena yero
Member
- Jan 13, 2017
- 53
- 21
Habari za muda huu, mimi ni mwanaume umri wangu miaka 25, mkazi wa mkoa wa Iringa Elimu yangu ni kidato cha nne,, natafuta kazi yeyote ile ambayo ni halali itakayoweza kuniwezesha kupata kipato kwaajili ya kujikwamua kimaisha, Asanteni.
nlijaribu tu kuwaza loudly