jang
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 1,415
- 1,189
Karibu kwa ushauri zaidi, PM ipo wazi 24 hoursAsante kwa ushaur pia
Karibu kwa ushauri zaidi, PM ipo wazi 24 hoursAsante kwa ushaur pia
Ok sawa..nmekuelewa asanteKuwa makini kipindi ichi ,kila mtu anataka kukupa kazi kuwa makin wamejua ni wa kike
peleka cv pale morocco kama upo Dar wanahitajigi wafanyakazi uwe unajua cmpter application prgm kama microsoft word excell na publisher kuelekezwa zaidi nitext 0658825141Yah naweza
okpeleka cv pale morocco kama upo Dar wanahitajigi wafanyakazi uwe unajua cmpter application prgm kama microsoft word excell na publisher kuelekezwa zaidi nitext 0658825141
Ok...asantepeleka cv pale morocco kama upo Dar wanahitajigi wafanyakazi uwe unajua cmpter application prgm kama microsoft word excell na publisher kuelekezwa zaidi nitext 0658825141
kama matokeo yamekaa vibaya angekuja jukwaani au mambo ya mkopoUngeenda chuo tu mkuu, hata education
Mkuu mbona umeonyesha moyo sana kuna nn behind the scenenimejaribu kukuchorea kama utashindwa kuisoma hii rough map basi hata kaz usiende tafuta
Thank u ubarikiweenlisumbuka sana kupata/kutafuta kaz kabla cjasmua kujiajiri najua hawa madogo wanavyoumia kisaikolojia waswahili wanasema tenda unalopenda kutendewa na wenzako chitaji chochote nimewasaidia tu au umechukia
Swali je kama angekua me ungekua na moyo huona hapo hapo moroco kuna kampuni nyingi sana zinaunganisha na waajiri na nyingine za research ukishafika Erolink nipigie nkuelekeze kampuni nyingine kama infinity communication Repoa intergrated na nyingine nyingi mitaa hiyo hiyo
Nipo kuomba msaada basi punguzen hayo yasiyo ya tija..ameeleza why anafany anachokifanya tena public hata we umeona pia unawez kufaidika na hiyo kitu hajanieleza private..tuwe na aman wapendwa.Swali je kama angekua me ungekua na moyo huo
mwambie kazi ni kazi, ila ajiandae kuwa kbubu cha watu wengne, maana kwenye mshahara wake yatakatwa makato kbao, na kubaki na kduchu, asipokuwa na iman pamoja na uvumilivu utatenda dhambi ya tamaa na zinaana hapo hapo moroco kuna kampuni nyingi sana zinaunganisha na waajiri na nyingine za research ukishafika Erolink nipigie nkuelekeze kampuni nyingine kama infinity communication Repoa intergrated na nyingine nyingi mitaa hiyo hiyo
usimkatishe tamaa hiyo ni njia ya kutokea huna uzoefu huna mtaji utajiuza!? jibu ni no kafanye kazi ukipata mtaji achana na mishe za kuajiriwa me nimeajiriwa serikalini lakini nna mishe znazoni keep busymwambie kazi ni kazi, ila ajiandae kuwa kbubu cha watu wengne, maana kwenye mshahara wake yatakatwa makato kbao, na kubaki na kduchu, asipokuwa na iman pamoja na uvumilivu utatenda dhambi ya tamaa na zinaa
Unauweza uhausegirl...salary 250kNi msichana miaka 25,natafuta kazi yoyote halali..elimu yangu ni kidato cha sita.