Natafuta kazi za Kilimo na mifugo

Natafuta kazi za Kilimo na mifugo

Joined
Apr 23, 2017
Posts
13
Reaction score
0
Mimi ni mhitimu wa kozi za Kilimo na mifugo Natafuta ajira popote Tanzania nipo Mtwara naombeni msaada wenu kwa yeyote meenye connection aniunganishe.
Sim no:0678772549
Email:ngualos@gmail.com
 
Hufai ajiriwa
Yaani unesoma weee unashindwa haya fuga kuku
 
Kwa hiyo wewe ulikuwa unasoma bila malengo?
Yaani afisa kilimo na mifugo unataka uajiriwe kweli?
Kitu gani ulikuwa wajifunza darasani?
Uza simu yako nunua kuku
mkuu kama maisha hayajakupiga vizuri huwezi jua adha ya kukaa mtaani... ni rahisi sana kumwambia mtu afanye kitu ambacho hata ungekuwa wewe usingekifanya
 
mkuu kama maisha hayajakupiga vizuri huwezi jua adha ya kukaa mtaani... ni rahisi sana kumwambia mtu afanye kitu ambacho hata ungekuwa wewe usingekifanya
Tatzo anachkulia poa niuze cm hao kuku watakula nn mwxho c utanxhaur niuze nguo
 
Kwa hiyo wewe ulikuwa unasoma bila malengo?
Yaani afisa kilimo na mifugo unataka uajiriwe kweli?
Kitu gani ulikuwa wajifunza darasani?
Uza simu yako nunua kuku
hahahaha kwa sauti ya kala jeremiah
 
Kwa hiyo wewe ulikuwa unasoma bila malengo?
Yaani afisa kilimo na mifugo unataka uajiriwe kweli?
Kitu gani ulikuwa wajifunza darasani?
Uza simu yako nunua kuku
mkuu unahisi kuwekeza kwenye kilimo ni kazi rahisi ee?
 
Kwa unavyoandika hata huko chuo sijui ulienda fanya nini
 
Nina shamba liko hai Kilimanjaro ninahitaji Bwana shamba nafanya kilimo cha umwagiliaji wa kisasa nipm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom