Natafuta kazi za IT

Natafuta kazi za IT

majangatz

Senior Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
107
Reaction score
91
Wadau habari za jioni,
Mimi. Ndugu yenu ni mjasiriamali ambaaye kuna vitu vinanitatiza. Ila natumaini hapa nitapatiwa majibu au njia ya kupita. Nimefungua kampuni yangu ya IT Home lakini tangu january imeanza na hii ni Dec sijapata kazi za kufanya. Nimejaribu kutafuta lakini suala la kujuana limekua kikwazo kikubwa sana. Kuna jamaa yangu aliniunganishia kazi moja tena nilikua kama sub Contractor ndio at least nimefanya hata moja.
Nimejaribu kusaka hizo kazi lakini sijafanikiwa hadi sasa, naombeni wadau wenye mchango chanya Wa jinsi ya kujikwamua ili niweze hata kutoa ajira kwa mtanzania hata mmoja.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Usikate tamaa jamaa! jitangaze ktk media tofauti.mikoani wana shida ya mafundi computer, kampuni nyingi zipo Dsm hamuwezi kushindana na wahindi njoo mikoani huku.Mashule, halmashauri zina share fundi.
 
Wadau habari za jioni,
Mimi. Ndugu yenu ni mjasiriamali ambaaye kuna vitu vinanitatiza. Ila natumaini hapa nitapatiwa majibu au njia ya kupita. Nimefungua kampuni yangu ya IT Home lakini tangu january imeanza na hii ni Dec sijapata kazi za kufanya. Nimejaribu kutafuta lakini suala la kujuana limekua kikwazo kikubwa sana. Kuna jamaa yangu aliniunganishia kazi moja tena nilikua kama sub Contractor ndio at least nimefanya hata moja.
Nimejaribu kusaka hizo kazi lakini sijafanikiwa hadi sasa, naombeni wadau wenye mchango chanya Wa jinsi ya kujikwamua ili niweze hata kutoa ajira kwa mtanzania hata mmoja.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
..kama vipi ni pm plz maana hata mimi nina tatizo km hilo njoo pm may be tutapeana mawili matatu mkuu
 
Wadau habari za jioni,
Mimi. Ndugu yenu ni mjasiriamali ambaaye kuna vitu vinanitatiza. Ila natumaini hapa nitapatiwa majibu au njia ya kupita.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Huyo anaekutajia wahindi anakutisha tu, nitangazie dau nikupe marketing plan 1 year tu utakuwa umemaliza kazi. mjini mipango.
 
Back
Top Bottom