Wakuu mnaweza kunisaidia nikapata hoteli mke wangu apeleke maombi ya kazi? Ana experience ya kutosha, sababu ya kuacha kazi mwanzo ni alienda kujifungua na hakubatika tena kurudi.
Msaada wenu ndugu zangu kuwa tegemezi ni shida sana
0716561026
OK kama anauwezo huo mzuri tembelea zoom kuna sehemu wanaitaji waetres 3 kule mbezi beach.ukishatuma maombi itabidi unipe no zako mm nikutumie no za MTU mwingine ampigie yeye aongee nae labda wataafikiana vizuri.chamsingi akiwa anaongea nae ajiamini sana.
OK kama anauwezo huo mzuri tembelea zoom kuna sehemu wanaitaji waetres 3 kule mbezi beach.ukishatuma maombi itabidi unipe no zako mm nikutumie no za MTU mwingine ampigie yeye aongee nae labda wataafikiana vizuri.chamsingi akiwa anaongea nae ajiamini sana.
asante sana mkuu kama itawezekana nisaidie hyo namba ya kwangu hyo hapo. 0716561026 maana nimechek zoom hakuna latest post nyng dealine zake zilikuwa february au nisaidie link