Natafuta kazi yoyote

Natafuta kazi yoyote

phau60

Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
46
Reaction score
97
Ndugu zangu

Mimi ni kijana wa miaka 20 naomba kama kuna mtu ana kazi yoyote anisaidie ili niweze kuwatunza mama angu na wadogo zangu.

Tafadhali kama ukiguswa na una moyo naomba unisaidie Mungu atakulipa tunateseka sana.
 
Ingekuwa vizuri kama ungesema uko mkoa gani, una ujuzi na kazi zipi lasivyo hakuna mtu mwenye kazi atakufwata PM kuuliza hayo.
Weka maelezo yaliyoshiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu

Mimi ni kijana wa miaka 20 naomba kama kuna mtu ana kazi yoyote anisaidie ili niweze kuwatunza mama angu na wadogo zangu.

Tafadhali kama ukiguswa na una moyo naomba unisaidie mungu atakulipa tunateseka sana
hujambo, nitumie ujumbe wa faragha unapoishi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom