EveningStar
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 262
- 162
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 29, elimu yangu ni shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia. Naombeni mnisaidie kazi yoyote iliyo halali, sichagui kazi, nipo Dar es salaam. Kwa mawasiliano: 0758 106 501.
Ahsanteni sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 29, elimu yangu ni shahada ya kwanza ya sayansi ya chakula na teknolojia. Naombeni mnisaidie kazi yoyote iliyo halali, sichagui kazi, nipo Dar es salaam. Kwa mawasiliano: 0758 106 501.
Ahsanteni sana!
Sent using Jamii Forums mobile app