Dasaa
Member
- Aug 4, 2012
- 8
- 1
MIMI NI BINTi MWENYE UMRI WA MIAKA 28 NI MWANACHUO
NATAFUTA KAZI YEYOTE AMBAYO ITANIINGIZIA KIPATO NITAKACHO KITUMIA KWA NAULI, STATIONARIES NA CHAKULA NATOKA CHUO SAA 6 MCHANA BAADA YA HAPO NAKUA FREE MIMI NI MPISHI MZURI SANA NA MWEPESI WA KIJIFUNZA PIA NAWEZA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UAMINIFU WA HALI YA JUU
KWA YEYOTE ANAE HITAJI MTU WA KUMSAIDIA HOTELINI, NYUMBANI,MAKAZINI AU KAMA KUNA MTU ANAHITAJI MFANYAKAZI NIKO TAYARI.
NASHUKURU.:wave:
NATAFUTA KAZI YEYOTE AMBAYO ITANIINGIZIA KIPATO NITAKACHO KITUMIA KWA NAULI, STATIONARIES NA CHAKULA NATOKA CHUO SAA 6 MCHANA BAADA YA HAPO NAKUA FREE MIMI NI MPISHI MZURI SANA NA MWEPESI WA KIJIFUNZA PIA NAWEZA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA UAMINIFU WA HALI YA JUU
KWA YEYOTE ANAE HITAJI MTU WA KUMSAIDIA HOTELINI, NYUMBANI,MAKAZINI AU KAMA KUNA MTU ANAHITAJI MFANYAKAZI NIKO TAYARI.
NASHUKURU.:wave: