D Deby Amos New Member Joined Aug 10, 2022 Posts 1 Reaction score 2 Dec 6, 2022 #1 Habari!! Natafuta kazi ya kufanya kama muuguzi na mkunga nina diploma level kwenye hospital au dispensary sehemu yoyote kati ya kwanza, Shinyanga au Kahama. Mwenye connection anisaidie tafadhali
Habari!! Natafuta kazi ya kufanya kama muuguzi na mkunga nina diploma level kwenye hospital au dispensary sehemu yoyote kati ya kwanza, Shinyanga au Kahama. Mwenye connection anisaidie tafadhali
Ujinga mtupu JF-Expert Member Joined Aug 16, 2017 Posts 887 Reaction score 2,020 Dec 27, 2022 #3 Munari said: Vipi umepata? Click to expand... Unataka kumpa kazi
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,721 Reaction score 126,568 Dec 27, 2022 #4 Kil la kheri mkuu
Munari Member Joined Jun 17, 2021 Posts 79 Reaction score 106 Dec 29, 2022 #5 Ujinga mtupu said: Unataka kumpa kazi Click to expand... Sio kumpa ni kumuelekeza kama kuna tangazo mahali fulan nimtumie ikitokea Kama amepata sawa nona kimya
Ujinga mtupu said: Unataka kumpa kazi Click to expand... Sio kumpa ni kumuelekeza kama kuna tangazo mahali fulan nimtumie ikitokea Kama amepata sawa nona kimya
F16 Falcon JF-Expert Member Joined Dec 16, 2022 Posts 750 Reaction score 1,651 Dec 29, 2022 #6 Zunguka zunguka kwenye Taasisi za afya unaweza kubahatisha