Mimi ni EN natafuta kaz kweny hospital yeyote,health centre au dispensary nipo tayari kufanya kaz sehm yeyote,nimesoma 2yrs ninauwezo wa kutosha katka fani hii na leseni ninayo,nimehtmu mwaka jana ,nafanya kaz sehm yeyote, ambaye anaweza kuniajir au ana ndg yake anipm,