Natafuta kazi ya ulinzi

Safi sana Nenda kk Kama ulivyoshauriwa.

ahsnte sana ndugu...... lazima niende.... lakini vp mkuu hawawezi kuaccept kama hauna living? mfno una orgino fm 6 or fm 4.....result slip... cheti cha kuzaliwa, cha mpiga kura...cheti cha uraia ......
 

mkuuu vp kama nina origino certificate fm 4 na fm 6,,, cheti cha kuzaliwa... cheti cha uraia , cha mpiga kura, hapo vp?
 
usiongee usichokijua mm nliwah kufanya nao be4 sijapata kazi gvt. So nawajua effectively na hadi saivi nna mawasiliann nao....
Basi sawa mkuu.
Nilighafilika tu ndugu yangu.
Samahani sana..
 
mkuuu vp kama nina origino certificate fm 4 na fm 6,,, cheti cha kuzaliwa... cheti cha uraia , cha mpiga kura, hapo vp?

Kama vyote vinahusiana na academic issues its up to you.

Mambo yanabadilika, labda wameongeza vigezo na masharti.
 
ahsnte sana ndugu...... lazima niende.... lakini vp mkuu hawawezi kuaccept kama hauna living? mfno una orgino fm 6 or fm 4.....result slip... cheti cha kuzaliwa, cha mpiga kura...cheti cha uraia ......

sidhani kama kuna mambo ya leaving certificate, trust me, ishu inakuja kama huna original certifs.
 
Jaman na mimi nielekezen ukishuka walioba then unaelekea wap nikatafute hicho kibarua
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…