Habari ya Jumamosi wanaJF
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25, elimu yangu ni kidato cha sita (2012). Natafuta kazi ya ulinzi katika kampuni ya watu binafsi au mashirika ya umma, nipo Karatu Arusha, kwa yeyote anayefahamu naomba anisaidie.
NB; Pia kuna mtu amenielekeza kampuni flani inaitwa KK SECURITY but hana taarifa sahihi kwa mwenye ufahamu na kampuni hiyo pia anisaidie.
Natanguliza shukrani
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25, elimu yangu ni kidato cha sita (2012). Natafuta kazi ya ulinzi katika kampuni ya watu binafsi au mashirika ya umma, nipo Karatu Arusha, kwa yeyote anayefahamu naomba anisaidie.
NB; Pia kuna mtu amenielekeza kampuni flani inaitwa KK SECURITY but hana taarifa sahihi kwa mwenye ufahamu na kampuni hiyo pia anisaidie.
Natanguliza shukrani
Vigezo vikuu vya kupata ajira KK SECURITY ni kama ifuatavyo:
- Academic qualifications. Uwe na cheti cha elimu ya sekondari kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
- Uwezo mzuri wa kuzungumza lugha ya kiiingereza, ujue na law kidogo.
- Urefu wako uwe wa kutosha, kuna kipimo pale, hakuna longo longo wala rushwa katika hilo.
- Uje na barua mbili za wadhamini pamoja na ya kwako mwenyewe ya kuomba kazi
Other qualifications are added advantage: Driving, computer literate e.t.c
HQ ziko Dar ila ajira huweza tolewa Mwanza na Dar vile vile.
Safiri uende mpaka Dar es salaam, japo kuna usumbufu sana pale.