Mi nimekuelewa kabsa, mazingra uliyochagua sitatia neno, mana kila mtu ana priorities zake. Kwa mshahara unaotaka na ujuz/uhitaji/utayar wa kufanya kazi hizo upo sahihi kbsa, tusipinge ukweli kama wahudumu wa nyumbani nao wana level zao kutokana na huduma anazoweza kuhudumu, basi lazma mishahara itofautiane, mfano lundo kubwa la wahudumu weng wa kazi za ndan wa ktz au kiafrika ni bora mfanyakazi, yani awe tu anaweza kupika, kuosha vyombo, kumbembereza mtoto anapolia na vikazkaz vingne vng vya ndani sijui kudeki, kufua n.k. Hao ndo weng wao mishahara ni elf 80 kushuka japo napo still sio fair ila ndo ukweli huo, mfanyakaz wa ndan kama huyo huwez mlinganisha na mfanyakaz wa ndani ambaye sio tu anaweza kumbembereza mtoto anapolia, bali anaweza kutoa full care kwa mtoto mdg mfano kumfundisha kama kumwelekeza home work, kuhakikisha halii(kwa sababu inayoweza kuzuirika) sio wale kila saa utashkia " nyamaza" kumpa furaha, kupika chakula bora na vya aina mbali mbali na si bora chakula sio wale wa dagaa, ugali, maharage na wali, kupeleka watoto shule kwa usafr kama hvyo wewe, si yule akiwavusha barabara tu utaskia haya kimbieni, na mambo mengne meng ya kitaalamu. Sasa mtu kama huyu huwez ukampa nae elf 80. Kwa ufupi upo sahihi ila tegemea mapovu ya sisi waganga njaa, wenye kejeli na frastruation zetu.