natafuta kazi ya ualimu

natafuta kazi ya ualimu

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
6,084
Reaction score
6,087
Mimi ni kijana umri 19 nimemaliza kidato cha sita mkoa njombe masom yang ni "CBG" natafuta kazi ya ualimu wa tempo.kwa mda mkoa wa mbeya/njombe.mwenye kufahamu xhule inayohitaji mwalimu wa maxom hayo plz.(0714494864)
 
Mimi ni kijana umri 19 nimemaliza kidato cha sita mkoa njombe masom yang ni "CBG" natafuta kazi ya ualimu wa tempo.kwa mda mkoa wa mbeya/njombe.mwenye kufahamu xhule inayohitaji mwalimu wa maxom hayo plz.(0714494864)

Mwalimu afu miaka 19!!!
 
Kwa age yako na kwa taaluma ya ualimu wewe bado mdogo sana..mbona hii taaluma inataniwa hivi? Subiri bwana ufike angalau miaka 25 angalau utakuwa umekomaa kiakili, kimawazo na kimatendo pia.
 
Kwa age yako na kwa taaluma ya ualimu wewe bado mdogo sana..mbona hii taaluma inataniwa hivi? Subiri bwana ufike angalau miaka 25 angalau utakuwa umekomaa kiakili, kimawazo na kimatendo pia.

hapan mkuu lakin nina uwezo huo wa kufundixha kutokana na elimu niliyoipata toka naanza shule mpak hap nilipo fikia,hvo naon umr c kigezo.ama unanixhaur vp nikae tu mtaani miez yte hii?
 
Hapa ndo tunaporudi nyuma waafrika.. Yaan nchi za wenzetu mtu miaka 19 ameshamaliza advance level na anafanya kazi ya maana inayomuingizia kipato cha kutosha.. Hata anapofikia miaka 25 anakua ameshasettle down.. Lakini sisi waafrika mtu unaanza kazi unamiaka 29.. Tutatoka kweli kimaisha sisi..
 
mwalimu gani mbulula unaweka x baadala s unataka ukafundishe watoto wetu uhuni.
 
mwalimu gani mbulula unaweka x baadala s unataka ukafundishe watoto wetu uhuni.

hapan mkuu si kam unavofkiria,kwan mim ninajtambua na nifaham kutumia lugha au manen kulngana na mazngra,kwan nikiandka hvo unafkir hta xcul ntakuw naandka hvo? c hvo.
 
Hapa ndo tunaporudi nyuma waafrika.. Yaan nchi za wenzetu mtu miaka 19 ameshamaliza advance level na anafanya kazi ya maana inayomuingizia kipato cha kutosha.. Hata anapofikia miaka 25 anakua ameshasettle down.. Lakini sisi waafrika mtu unaanza kazi unamiaka 29.. Tutatoka kweli kimaisha sisi..

Umeona eh,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom