Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 548
- 475
Habari kwa jina naitwa Elifuraha Lyimo nipo Mabibo, Dar es salaam natafuta kazi ya ualimu kwa upande wa shule za msingi(English Medium nna cheti daraja la III A na masomo nayofundisha Mathematics, Civic and Moral na social studies darasa 2,3,4,5 na 6 mawasiliano yangu ni 0714954609.
Nina uzoefu wa miaka 5
Nina uzoefu wa miaka 5