faiza zuwer
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 400
- 172
aisee, huyu ana hali mbaya kweli
Heee afe kisa
aisee, huyu ana hali mbaya kweli



Kama upo serious hakuna ushamba hapo. Kila la kheri utapata.Kama kichwa kinavojieleza hapo,
Iwe sehemu yoyote Dar. Mshahara kuanzia laki moja per month elimu yangu niliishia chuo NTA level 4. Nilijaribu kuomba mkopo nijiajiri kwa baadhi ya watu but hawatoi mkopo bila kuonja kitumbua they thought nitatoa sababu niko desperate but nimekaza moyo.
Wengine wakaamua kunipotezea tu nami sina wazazi wala mtu specific wa kumtegemea. Nimeamua tu nijaribu hivi maybe historia yangu inaanzia hapa. Msinione mshamba wadada wenzangu, naogopa magonjwa.
Kwa alie na uhitaji aje PM
Ngoja namie nikuje huko piemuInna pm yako iko kwa mwenza wako? haya check me through 0719 813 815whatssapp only!!!!
Atakuwa ashawekwa ndani sasa hivi na watoto sio chini ya wanneSijui alipata..