Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
Kama kichwa kinavojieleza hapo,
Iwe sehemu yoyote Dar mshahara kuanzia laki moja per month elimu yangu niliishia chuo NTA level 4. Nilijaribu kuomba mkopo nijiajiri kwa baadhi ya watu but hawatoi mkopo but nimekaza moyo.
Wengine wakaamua kunipotezea tu nami sina wazazi wala mtu specific wa kumtegemea. Nimeamua tu nijaribu hivi maybe historia yangu inaanzia hapa. Msinione mshamba wadada wenzangu, naogopa magonjwa.
Kwa alie na uhitaji aje PM
Iwe sehemu yoyote Dar mshahara kuanzia laki moja per month elimu yangu niliishia chuo NTA level 4. Nilijaribu kuomba mkopo nijiajiri kwa baadhi ya watu but hawatoi mkopo but nimekaza moyo.
Wengine wakaamua kunipotezea tu nami sina wazazi wala mtu specific wa kumtegemea. Nimeamua tu nijaribu hivi maybe historia yangu inaanzia hapa. Msinione mshamba wadada wenzangu, naogopa magonjwa.
Kwa alie na uhitaji aje PM
