Natafuta kazi ya Stationary

mactal

Member
Nov 14, 2016
71
95
Wakuu habari za kwenu nyote
Natafuta kazi ya stationary kwa mkoa wa morogoro/Dodoma
Uzoefu ninao wa zaidi ya miaka 3.
Vigezo vyangu katika kazi:
1. Nafahamu vizuri sana kutumia computer..
2. Nina kasi nzuri sana ya kuchapa
3. Niko na uzoefu pia mkubwa kwa upande wa computer/mobile repair both software na hardware na (printer repair kiwango cha wastani)
4..Nafahamu kwa ufasaha kuandika na kuongea kiswahili/kiingereza.
5.customer care pia naiweza sana..
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
 
Wakuu habari za kwenu nyote
Natafuta kazi ya stationary kwa mkoa wa morogoro/Dodoma
Uzoefu ninao wa zaidi ya miaka 3.
Vigezo vyangu katika kazi:
1. Nafahamu vizuri sana kutumia computer..
2. Nina kasi nzuri sana ya kuchapa
3. Niko na uzoefu pia mkubwa kwa upande wa computer/mobile repair both software na hardware na (printer repair kiwango cha wastani)
4..Nafahamu kwa ufasaha kuandika na kuongea kiswahili/kiingereza.
5.customer care pia naiweza sana..
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Jinsia na umri wako tafadhali. Nauliza hivi kwa nia njema kabisa.
 
Wakuu habari za kwenu nyote
Natafuta kazi ya stationary kwa mkoa wa morogoro/Dodoma
Uzoefu ninao wa zaidi ya miaka 3.
Vigezo vyangu katika kazi:
1. Nafahamu vizuri sana kutumia computer..
2. Nina kasi nzuri sana ya kuchapa
3. Niko na uzoefu pia mkubwa kwa upande wa computer/mobile repair both software na hardware na (printer repair kiwango cha wastani)
4..Nafahamu kwa ufasaha kuandika na kuongea kiswahili/kiingereza.
5.customer care pia naiweza sana..
Natanguliza shukrani za dhati kwenu
Kwanini Morogoro/Dodoma pekee?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom