Natafuta kazi ya SECRETARY

Natafuta kazi ya SECRETARY

Una uwezo wa kuendesha ofisi kama vile stationary kwa faida? au unataka kuajiriwa kufanya tu kazi ya ku-type barua, ku-scan doc, binding etc?
 
Kwa nn useme Elimu yako kidato cha nne wakati Chuo umesoma msimbazi center?
 
Wapendwa mimi nina elimu kidato cha nne. Nimesomea secretary chuo cha msimbazi centre. Nina uzoefu wa kutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji wafanyakazi wawili (wa kike) i wenye uzoefu na staionary.computer na pia kufundisha au kuelekeza wanafunzi kutumia computer.Pia awe na uwezao wa kusimamaiaw wengine ofisini wasiliana nasi -0717157640
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom