CLEMENCE THOMAS
Member
- Jun 30, 2015
- 17
- 1
Ninayo taaluma ya maabara ya (Laboratory microscopist) nawaomba wana Jamii Forum ambao ni wamiliki au wapo karibu na wamiliki wa hospitali,vituo vya afya au zahanati.
Kama kuna uhitaji wa mtu wa kufanya kazi maabara msisite kunitaarifu. tumia Email hii: thomasclemence200@gmail.com au simu no;0769658869.
Mungu awabariki sana.
Kama kuna uhitaji wa mtu wa kufanya kazi maabara msisite kunitaarifu. tumia Email hii: thomasclemence200@gmail.com au simu no;0769658869.
Mungu awabariki sana.