Beautifullgirl
Senior Member
- Feb 28, 2013
- 100
- 15
Hi kwa wote,natafuta kazi ya kununua maana saivi bila kununua hakuna kazi na nikizingatia mwaka mzima natafuta bila kupata.so nipo tayari kutoa pesa ili nipate kazi,kwaanae fahamu watu wa hvo au kama wewe ni muhusika naomba uni PM nitakutafuta,usiseme kwa nini hii pesa siifanyii biashara mpaka nihonge hii yote ni kwasababu mimi sihitaji kua mfanyabiashara nahitaji kuajiria.nawasilisha