theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,750
- 15,641
Mimi ni kijana niko na umri wa 32 nakuja mbele yenu kuomba kazi ya kusimamia mashamba, vitalu na Green House mkoa wowote hapa nchini niko tayari....
Elimu yangu ni certificate in agriculrure naomba msaada wenu wakuu hali imekuwa ngumu sana huku mtaani....
Mbarikiwe watu wa Mungu.....
Elimu yangu ni certificate in agriculrure naomba msaada wenu wakuu hali imekuwa ngumu sana huku mtaani....
Mbarikiwe watu wa Mungu.....