Natafuta kazi ya kilimo

theriogenology

JF-Expert Member
Oct 7, 2016
8,750
15,641
Mimi ni kijana niko na umri wa 32 nakuja mbele yenu kuomba kazi ya kusimamia mashamba, vitalu na Green House mkoa wowote hapa nchini niko tayari....

Elimu yangu ni certificate in agriculrure naomba msaada wenu wakuu hali imekuwa ngumu sana huku mtaani....

Mbarikiwe watu wa Mungu.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom