fihavango
Member
- Oct 16, 2013
- 17
- 2
Habari wanajamii, mimi ni mhitim wa staashada ya computer science natafuta kazi mojawapo kati ya hizo hapo juu, ninauzoefu wa mwaka mmoja katika ufanyaji kazi.
Sasa hivi nipo Ruaha university college(RUCO) Iringa, najitolea kufanya kazi kama system admin, kwa yeyote ambaye anataka tufanye kazi pamoja tafadhali tuwasiliane kwa namba zifatazo.
0714667500, email titusf123@gmail.com.
nahitaji mtu aliye serious na kazi na siyo ahadi zisizo na uhakika.
shukrani wanajamii
Sasa hivi nipo Ruaha university college(RUCO) Iringa, najitolea kufanya kazi kama system admin, kwa yeyote ambaye anataka tufanye kazi pamoja tafadhali tuwasiliane kwa namba zifatazo.
0714667500, email titusf123@gmail.com.
nahitaji mtu aliye serious na kazi na siyo ahadi zisizo na uhakika.
shukrani wanajamii