Natafuta kazi ya biomedical engineering

Natafuta kazi ya biomedical engineering

Sasa hujasema ni diploma, degree au ninj!!

Dah ila umenikumbusha watu wa petroleum, nikutakie kila la heri kiongozi!!
Noma sana hii petroli, kuna washkaji zangu wako China wanakata hiyo nyanga, na pia nasikia hiyo kozi kwa bachelor imeanzishwa UDSM na UDOM huku wimbo mpya wa sirikali ni Viwanda sasa na Stigla goji, Funny.
 
Waajiri hawawezi kukutafuta. Weka cv kwa recruiting agencies. Halafu andika barua Sua, muhas na nelson mandela ujielezee, uombe internship ama ajira.

Kila la kheri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom