LillianBucho
New Member
- Jan 19, 2014
- 4
- 0
Nina masters ya community development na project management natafuta kazi/volunteering nisaidieni. Niko tayari kufanya kazi popote. Niligraduate mwaka jana mwezi 11. Help...!
Asante sana skidemout nilikuwa namaanisha popote tanzania sio nje ya tanzania. Thanks again.
hii intavyuu imefanyika leo mkuuJana kuna mtu aliandika huu uzi:
https://www.jamiiforums.com/nafasi-...intern-apply-interview-kesho.html#post9796853
jaribu kumcheki.
Nina masters ya community development na project management natafuta kazi/volunteering nisaidieni. Niko tayari kufanya kazi popote. Niligraduate mwaka jana mwezi 11. Help...!
Kama ni ya Mzumbe napata wasi wasi na wewe....Ya Tengeru CDTI iko fine. Sasa sijui wale kama wana Masters.
Kua na Masters sio kwamba ndo unaweza pata ajira! Kuna kijana kasoma MBA,kapiga CPA tena single sitting wahasibu mnaelewa namanisha nini,alimaliza MBA yake 2010,kasota kitaa,kafundisha sana kwenye hizi review class centre,mwaka jana ndo kapata kazi PSPF!! Anavyowahi sasa kwenda job!
Anavyowahi sasa kwenda job!