Mimi ni mgeni mji huu japo na nakaribia kufunga mwaka 1 hapa Tanga ni mwenyeji wa Mbeya , kutokana na changamoto nilizo zipata wakati nipo Mbeya ilinilazimu kuondoka bila kupenda kuja huku, Kuna jamaa yangu aliniunganisha na kazi ya kiwandani, kiwanda Cha cement, wakati naaza kazi niliona fresh nilikua Sina namna lakini kadiri ya mda unavyo kwenda naona kama napoteza muda tu hakuna akiba nayo weka hii sababu ya mshahara mdogo na kazi si ya mkataba,manyanyaso, nacho pata kinatumika chote na madeni juu nimekua mtumwa, hobi yangu sana sana ni kazi za kilimo napenda na ndoto yangu sikuzote kuja kulima, kinacho nikwamisha Sina connection yoyote ile ya wapi niende, ..... Wapi nitapata kazi ya kunikwamua apa nilipo msaada tutani. Nipo tayari kwenda popote, 0678921083