ha ha ha ha ha ha ha!!! I'm just wonder to see how gentlemen speak shit louder than girls!!! some people are so melon pit.. Kama mtu huna cha kumshauri mwenzako piga kimyaa urijali sio kuchambana au kuongea mafumbo kama mtoto wa kike!! Hili jukwaa ni la wahanga wa ajira kama umetoboa basi usiwajibu kunya wenzako!! Sorry kama kuna mtu ka kwazika na hili ila habari ndio hio.I always facing challenges Bravery!!!....😛ainkiller::smokin:
Kwa nini usitafute mbinu za kujiajira mkuu? andika andiko la mradi ufanye mpango utekeleze mkuu kazi ni shida sana kwa nchi yetu sasa hivi alafu wengi wanapeana na kufanya kiini macho cha usaili. hapa unaweza subiri sana bila mafanikiop dhahiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.