Salaam wanajf, Mimi ni Nina degree ya sheria pia nimeapitia mafunzo kwa vitendo law school of Tanzania, ila nilikamatwa masomo mawili ambayo nimeshayafanyia mtihani nikisubiri matokeo.
Naomba nafasi ya kujishikiza nikiwa nasubiri matokeo yangu.
Asanteni.
Naomba nafasi ya kujishikiza nikiwa nasubiri matokeo yangu.
Asanteni.