Rizinyo
Member
- Aug 15, 2016
- 6
- 1
Habari ya asubhi wana jamii wenzangu,shida yangu kubwa ni kazi naombeni sana mwenye kuweza kunisaidia kwa hili anisaidie sana tafadhali.
Elimu yangu ni Diploma in Procurement and materials Supply napatikana Dar ila si kigezo cha kutokuwa na uwezo wa kufanya kazi popote nipo teyari kufanya kazi popote mwenye utayari wa kunisaidia anaweza nijuza kupitia namba yangu ya simu 0753 484859.
Elimu yangu ni Diploma in Procurement and materials Supply napatikana Dar ila si kigezo cha kutokuwa na uwezo wa kufanya kazi popote nipo teyari kufanya kazi popote mwenye utayari wa kunisaidia anaweza nijuza kupitia namba yangu ya simu 0753 484859.