Mbogho wa 4
Member
- Dec 28, 2014
- 5
- 0
Wakuu, nimehitim 4m four kitambo kdogo nikaingia VETA.
Nnina certificate ya Graphics designer but nimemaliza nikatarajia kutakua na ajira nje nje!
Duh! Balaa nimesota street mpaka basi yeyote anaejua panapo kazi au vibarua vya muda mrefu tujuzane tusongeshe maisha.
Nnina certificate ya Graphics designer but nimemaliza nikatarajia kutakua na ajira nje nje!
Duh! Balaa nimesota street mpaka basi yeyote anaejua panapo kazi au vibarua vya muda mrefu tujuzane tusongeshe maisha.