Natafuta kazi, nina cheti cha Graphic Designing

Natafuta kazi, nina cheti cha Graphic Designing

Mbogho wa 4

Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5
Reaction score
0
Wakuu, nimehitim 4m four kitambo kdogo nikaingia VETA.

Nnina certificate ya Graphics designer but nimemaliza nikatarajia kutakua na ajira nje nje!

Duh! Balaa nimesota street mpaka basi yeyote anaejua panapo kazi au vibarua vya muda mrefu tujuzane tusongeshe maisha.
 
Hivi huwa hamjiulizi pia kuwa kutoajiriwa kuko nje nje vile vile?

Hii mentality ya ajira 'nje nje' inawaharibu wengi...

Btw, Paul Makonda amesema wasio na ajira wakajiandikishe ofisini kwake....:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Hivi we umesoma graphics designer unataka ajira why mkuu kwann usijiajir mwenyewe tafta destop yako ya maana anza kazi tengeneza animation za matangazo ya makampuni kadhaa peleka ombi wakikubar ubunifu wako unakula shavu anzia hapo
 
Hivi we umesoma graphics designer unataka ajira why mkuu kwann usijiajir mwenyewe tafta destop yako ya maana anza kazi tengeneza animation za matangazo ya makampuni kadhaa peleka ombi wakikubar ubunifu wako unakula shavu anzia hapo

ok shukrani mkuu nimekuelewa na nitafanyia kazi ushauri wako
 
Wakuu, nimehitim 4m four kitambo kdogo nikaingia VETA.

Nnina certificate ya Graphics designer but nimemaliza nikatarajia kutakua na ajira nje nje!

Duh! Balaa nimesota street mpaka basi yeyote anaejua panapo kazi au vibarua vya muda mrefu tujuzane tusongeshe maisha.
Hakikisha unanitafuta 0768577654
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom