Natafuta kazi, nina Astashahada ya Community Development

Natafuta kazi, nina Astashahada ya Community Development

Dodoma kwa sasa kuna fursa nyingi sana; achana na kutafuta ajira fuatilia changamoto zilizoko hapo then zibadili kuwa kazi yako.
1. Jifunze kuotesha uyoga alafu uwauzie wenye mahotel.
2. Jifunze kuzalisha chakula cha mifugo (Hydroponics fodder) then kawauzie wafugaji
3. Jifunze kufuga samaki alafu fuga uwauzie wananchi.
Yapo mengi ambayo najua kwako ni fursa. Ajira hakuna ila kazi zipo nyingi tu binti.
 
Dodoma kwa sasa kuna fursa nyingi sana; achana na kutafuta ajira fuatilia changamoto zilizoko hapo then zibadili kuwa kazi yako.
1. Jifunze kuotesha uyoga alafu uwauzie wenye mahotel.
2. Jifunze kuzalisha chakula cha mifugo (Hydroponics fodder) then kawauzie wafugaji
3. Jifunze kufuga samaki alafu fuga uwauzie wananchi.
Yapo mengi ambayo najua kwako ni fursa. Ajira hakuna ila kazi zipo nyingi tu binti.
Yaan hamna kitu napenda kam ujasiliamari mkuu tatzo pakuanzia sipaon..... Kila ninachojarb holaaa..... Nahc unaeza nipa idea....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan hamna kitu napenda kam ujasiliamari mkuu tatzo pakuanzia sipaon..... Kila ninachojarb holaaa..... Nahc unaeza nipa idea....

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Jaribu kuwatengeneza wateja kabla ya kuanza kutoa huduma hiyo. Watembelee ongea nao na uwaulize changamoto walizo nazo kwenye shughuli zao. Ukijua changamoto walizo nazo - unakuja kwangu kupata skills za kutatua changamoto hizo.

2. Tunza hela hata kama ni kidogo kiasi gani kwa ajili kuanzisha kujishughuli chochote kwa ajili ya kukuza mtaji wa ndoto zako.
 
1. Jaribu kuwatengeneza wateja kabla ya kuanza kutoa huduma hiyo. Watembelee ongea nao na uwaulize changamoto walizo nazo kwenye shughuli zao. Ukijua changamoto walizo nazo - unakuja kwangu kupata skills za kutatua changamoto hizo.

2. Tunza hela hata kama ni kidogo kiasi gani kwa ajili kuanzisha kujishughuli chochote kwa ajili ya kukuza mtaji wa ndoto zako.
Wateja ninao kwa aina hii y fursa niliyoilenga na najitahidi sana kutunza kile kidogo ninachokipata hata kama n 2000...mradi 2 siku moj nifanye kitu amabcho kitakua ndyo ajira kwangu.... Tatizo n moja nashindwa kukubali kufanyia biashara mazingira y nyumban ndomana na jarb japo kutafta ajira mradi oneday nije nianzishe mradi wang rocation nyngne tofaut na home..... Coz najua nitakua tayar nimeshajua chanagmoto z eneo hilo na fursa zilizop mkuu au naenda wrong??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wateja ninao kwa aina hii y fursa niliyoilenga na najitahidi sana kutunza kile kidogo ninachokipata hata kama n 2000...mradi 2 siku moj nifanye kitu amabcho kitakua ndyo ajira kwangu.... Tatizo n moja nashindwa kukubali kufanyia biashara mazingira y nyumban ndomana na jarb japo kutafta ajira mradi oneday nije nianzishe mradi wang rocation nyngne tofaut na home..... Coz najua nitakua tayar nimeshajua chanagmoto z eneo hilo na fursa zilizop mkuu au naenda wrong??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna kitu unaendelea nacho - nakupa bigup! you are right!
 
Wateja ninao kwa aina hii y fursa niliyoilenga na najitahidi sana kutunza kile kidogo ninachokipata hata kama n 2000...mradi 2 siku moj nifanye kitu amabcho kitakua ndyo ajira kwangu.... Tatizo n moja nashindwa kukubali kufanyia biashara mazingira y nyumban ndomana na jarb japo kutafta ajira mradi oneday nije nianzishe mradi wang rocation nyngne tofaut na home..... Coz najua nitakua tayar nimeshajua chanagmoto z eneo hilo na fursa zilizop mkuu au naenda wrong??

Sent using Jamii Forums mobile app

Girls/Young women mna opportunity kubwa sana ya kujiajili legally na kutengeneza a lot of money sema tatizo ni kwamba wengi mnaishi maisha ya kukariri, yaan programmed life.

Kuna research report inasema "Girls are more intelligent than Boys, but what makes them seem to not be intelligent, dependant and unsuccessful is that they lack focus, boys can focus more than girls and thats why they can use well their intelligence.

Sasa sister nikushauri usihangaike sana kutafuta kazi, kuajiriwa isiwe first priority yako. Tafuta jinsi ya kujiajiri na utatoboa. Mfano kuna huyu mdada anaitwa kylie jenner (21 yrs old) ni mdg lkn anakimbizana na JAY Z kiutajiri (she is a millionaire) ila ukiangalia nn kimemfikisha hapo sio elimu(kwanza hakusoma sana) ila ni biashara tu ya vipodozi. Kylie alikua anatumia urembo wake, figure yake etc... kutangaza vipodozi vyake na vimetick world wide and now she is a billionaire.

Mfano mwngne ni huyu mdada wa mwanza ambae ana masters(studied in USA) lkn ni mpika makande. But biashara hio inamlipa sana tu.

SO sister angalia kitu gn unaweza kukifanya vzr zaidi thn turn it into a business. Girls mna chance nzuri sana kufanikiwa kwenye ujasiriamali sema wanaozigundua ni wachache. Mfano sijawahi kuona mdada mkaanga chipsi(Maybe wapo) lkn ushagajifikiria ikitokea kukawa na mchoma chipsi wa kike na wa kiume, nani atapata wateja wengi?????
 
Girls/Young women mna opportunity kubwa sana ya kujiajili legally na kutengeneza a lot of money sema tatizo ni kwamba wengi mnaishi maisha ya kukariri, yaan programmed life.

Kuna research report inasema "Girls are more intelligent than Boys, but what makes them seem to not be intelligent, dependant and unsuccessful is that they lack focus, boys can focus more than girls and thats why they can use well their intelligence.

Sasa sister nikushauri usihangaike sana kutafuta kazi, kuajiriwa isiwe first priority yako. Tafuta jinsi ya kujiajiri na utatoboa. Mfano kuna huyu mdada anaitwa kylie jenner (21 yrs old) ni mdg lkn anakimbizana na JAY Z kiutajiri (she is a millionaire) ila ukiangalia nn kimemfikisha hapo sio elimu(kwanza hakusoma sana) ila ni biashara tu ya vipodozi. Kylie alikua anatumia urembo wake, figure yake etc... kutangaza vipodozi vyake na vimetick world wide and now she is a billionaire.

Mfano mwngne ni huyu mdada wa mwanza ambae ana masters(studied in USA) lkn ni mpika makande. But biashara hio inamlipa sana tu.

SO sister angalia kitu gn unaweza kukifanya vzr zaidi thn turn it into a business. Girls mna chance nzuri sana kufanikiwa kwenye ujasiriamali sema wanaozigundua ni wachache. Mfano sijawahi kuona mdada mkaanga chipsi(Maybe wapo) lkn ushagajifikiria ikitokea kukawa na mchoma chipsi wa kike na wa kiume, nani atapata wateja wengi?????
Huwa nafurahia post za namna hii kwa watu ambao wapo mtaani wakisaka ajira huku wakijua fika kwamba ajira hakuna. Ahsante mkuu!
 
Girls/Young women mna opportunity kubwa sana ya kujiajili legally na kutengeneza a lot of money sema tatizo ni kwamba wengi mnaishi maisha ya kukariri, yaan programmed life.

Kuna research report inasema "Girls are more intelligent than Boys, but what makes them seem to not be intelligent, dependant and unsuccessful is that they lack focus, boys can focus more than girls and thats why they can use well their intelligence.

Sasa sister nikushauri usihangaike sana kutafuta kazi, kuajiriwa isiwe first priority yako. Tafuta jinsi ya kujiajiri na utatoboa. Mfano kuna huyu mdada anaitwa kylie jenner (21 yrs old) ni mdg lkn anakimbizana na JAY Z kiutajiri (she is a millionaire) ila ukiangalia nn kimemfikisha hapo sio elimu(kwanza hakusoma sana) ila ni biashara tu ya vipodozi. Kylie alikua anatumia urembo wake, figure yake etc... kutangaza vipodozi vyake na vimetick world wide and now she is a billionaire.

Mfano mwngne ni huyu mdada wa mwanza ambae ana masters(studied in USA) lkn ni mpika makande. But biashara hio inamlipa sana tu.

SO sister angalia kitu gn unaweza kukifanya vzr zaidi thn turn it into a business. Girls mna chance nzuri sana kufanikiwa kwenye ujasiriamali sema wanaozigundua ni wachache. Mfano sijawahi kuona mdada mkaanga chipsi(Maybe wapo) lkn ushagajifikiria ikitokea kukawa na mchoma chipsi wa kike na wa kiume, nani atapata wateja wengi?????
You are right

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Girls/Young women mna opportunity kubwa sana ya kujiajili legally na kutengeneza a lot of money sema tatizo ni kwamba wengi mnaishi maisha ya kukariri, yaan programmed life.

Kuna research report inasema "Girls are more intelligent than Boys, but what makes them seem to not be intelligent, dependant and unsuccessful is that they lack focus, boys can focus more than girls and thats why they can use well their intelligence.

Sasa sister nikushauri usihangaike sana kutafuta kazi, kuajiriwa isiwe first priority yako. Tafuta jinsi ya kujiajiri na utatoboa. Mfano kuna huyu mdada anaitwa kylie jenner (21 yrs old) ni mdg lkn anakimbizana na JAY Z kiutajiri (she is a millionaire) ila ukiangalia nn kimemfikisha hapo sio elimu(kwanza hakusoma sana) ila ni biashara tu ya vipodozi. Kylie alikua anatumia urembo wake, figure yake etc... kutangaza vipodozi vyake na vimetick world wide and now she is a billionaire.

Mfano mwngne ni huyu mdada wa mwanza ambae ana masters(studied in USA) lkn ni mpika makande. But biashara hio inamlipa sana tu.

SO sister angalia kitu gn unaweza kukifanya vzr zaidi thn turn it into a business. Girls mna chance nzuri sana kufanikiwa kwenye ujasiriamali sema wanaozigundua ni wachache. Mfano sijawahi kuona mdada mkaanga chipsi(Maybe wapo) lkn ushagajifikiria ikitokea kukawa na mchoma chipsi wa kike na wa kiume, nani atapata wateja wengi?????
Daah yn hya madini yameenda shule aise....ahsante kwakunipa nguvu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom