Natafuta kazi, nimesoma kompyuta

Natafuta kazi, nimesoma kompyuta

Sophia bavuma

Member
Joined
Jan 12, 2012
Posts
66
Reaction score
6
nimerudi
tena wanjamvi na shida ya kazi. Maisha magumu nimesomea komputer
masomo ya Microsoft acess,microsoft excel, Microsoft Word, internet
& email.
i can do work in a internet cafe or stationery even secretary
natanguliza shukurani kwenu. lakini naomba asiokua na nia yakusaidia
asitupia matusi au kunivunja moyo maana watu wengine uawa wanamajibu
mabaya naomba Only those who are sure and serious
 
Siku hizi Basic Computer Skills (MS Office Suite) sio ya kuombea kazi. Ukisoma computer tafuta ni fani gani inayotumia computer kutengeneza hela. Mf: Graphic design, Video production n.k. Basi Computer Skills is mandatory.
 
Wengine wanacheka wakati wao wenyewe wapo kwa wazazi wao ugali Wa shikamoo.. co poa wakubwa. Ila nakushauri nenda zantel wanatoa Kazi kajishikize wakati una hangaikia hyo na ushauri Wa ndugu Michael ngusa ufanyie Kazi.ASANTE
..
 
Robin unamcheka mwenzio amekosea lugha ya kitumwa wakati wewe yakwako inakushinda eti hiko hii ni lugha gani mkuu? Kikwenu au?
 
Sofia,kwa elimu ya kawaida,yaani sekondari ulifanikiwa kumaliza kidato cha sita?uliwah kuajiriwa?jaman mnakosoa wakat uwezo wa kumsaidia hamna,najua wengi walielewa ulimaanisha nini lakin ndio ubinadam,jibu maswali yangu hapo juu,ukiwa unatafuta usiwe na jazba
 
1701 vumilia atakuja mkuu msaidie kama uwezekano upo. Then hii kitu ya elim au kuajiriwa inaweza kumkatisha tamaa kama hana jaribu kumsaidia kwa makubaliano ya majaribio hata siku 3 au wiki utamjua kama anafaa au laa!
 
Sofia,kwa elimu ya
kawaida,yaani sekondari ulifanikiwa kumaliza kidato cha sita?uliwah
kuajiriwa?jaman mnakosoa wakat uwezo wa kumsaidia hamna,najua wengi
walielewa ulimaanisha nini lakin ndio ubinadam,jibu maswali yangu hapo
juu,ukiwa unatafuta usiwe na jazba

nimesoma mpaka kidato cha nne.
najua sana computer vingine nimejifunza mimi binafsi. ndio maana sijataka kusema maana azipo kwenye certificate yangu. asante
 
nimerudi
tena wanjamvi na shida ya kazi. Maisha magumu nimesomea komputer
masomo ya Microsoft acess,microsoft excel, Microsoft Word, internet
& email.
i can do work in a internet cafe or stationery even secretary
natanguliza shukurani kwenu. lakini naomba asiokua na nia yakusaidia
asitupia matusi au kunivunja moyo maana watu wengine uawa wanamajibu
mabaya naomba Only those who are sure and serious[/QUOTE

Best usivunjike moyo ila jitahidi kuibadilisha hiyo CV . Pale VETA wanatoa kozi za Graphic Design and Video Production na web design nadhani ni miezi miwili kama sikosei pia kuna kuna TechnoBrain na sehemu nyingine wala adayake sio kubwa itakusaidia utakua na uwanja mpana wakutafuta ajira ama kujiajiri pia inalipa . Nakutakia kila la kheri.
 
nimerudi
tena wanjamvi na shida ya kazi. Maisha magumu nimesomea komputer
masomo ya Microsoft acess,microsoft excel, Microsoft Word, internet
& email.
i can do work in a internet cafe or stationery even secretary
natanguliza shukurani kwenu. lakini naomba asiokua na nia yakusaidia
asitupia matusi au kunivunja moyo maana watu wengine uawa wanamajibu
mabaya naomba Only those who are sure and serious

Lakini pia Kama uko Dar unaweza kujaribu ofisi za tigo pale mtaa wa Lugoda huwa wanatoa kazi za customer care kila siku maana kila siku watu wanaondoka kwa mafungu. We muulize mlinzi yoyote wa pale getini atakuelekeza. Nina uhakika wana shida sana na watu hasa wa customer care upande wa kupokea simu za wateja
 
kama Nimekosea nikosoe sio wa wacheka

Suala lako limeeleweka Sophia,kingine jitahidi kuwa unapoandika uangalie lugha unayoitumia!maana kuandika kitu kumbe ukawa umekosea unakuwa unaharibu thamani ya kile ulichokusudia!!hapo haikupaswa uandike kiingereza wakati bado haujaipatia vema
 
Suala lako limeeleweka Sophia,kingine jitahidi kuwa unapoandika uangalie lugha unayoitumia!maana kuandika kitu kumbe ukawa umekosea unakuwa unaharibu thamani ya kile ulichokusudia!!hapo haikupaswa uandike kiingereza wakati bado haujaipatia vema

Kusoma computer na kusomea computer ni vitu viwili tofauti kabisa...
 
nimerudi
tena wanjamvi na shida ya kazi. Maisha magumu nimesomea komputer
masomo ya Microsoft acess,microsoft excel, Microsoft Word, internet
& email. i can do work in a internet cafe or stationery even secretary
natanguliza shukurani kwenu. lakini naomba asiokua na nia yakusaidia
asitupia matusi au kunivunja moyo maana watu wengine uawa wanamajibu
mabaya naomba Only those who are sure and serious
Sophia bavuma ujumbe wako umefika, ila wakati huu ambao unatafuta kazi, basi pia fanya na mazoezi ya kujifunza namna ya kuandika!
 
Last edited by a moderator:
Kuomba kazi jf ni kujichoresha tuu! Watu wengi humu hawana hata biashara ya mapera!!
 
Back
Top Bottom