Natafuta kazi maofisini

Natafuta kazi maofisini

Hajui watu wanasali kabla hawajaja huko maofisini...
Kama hawakusalimii wakati wanaleta barua ni vyema ukawakanya ama kuwachana then unapokea barua zao....
Ni kweli hajui kwamba zile barua ni dhamana kubwa.
Unakuta mtu anafanyiwa matambiko na ukoo mzima ili apate kazi awasaidie ndugu zake halaf yeye anachukulia masihara.
 
Ni kweli hajui kwamba zile barua ni dhamana kubwa.
Unakuta mtu anafanyiwa matambiko na ukoo mzima ili apate kazi awasaidie ndugu zake halaf yeye anachukulia masihara.
Wewe fanya tambiko hata ukiwa uchi lakini ukileta udwanz unaisoma
 
Kama uko dodoma nenda nssf na maombi ya katibu muhtasi wametoa nafasi hio ya kazi.
Tunahitaji wafanyakazi wawili (wa kike) i wenye uzoefu na staionary.computer na pia kufundisha au kuelekeza wanafunzi kutumia computer.Pia awe na uwezao wa kusimamaiaw wengine ofisini wasiliana nasi -0717157640
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom