Natafuta kazi kwa mtu.

Natafuta kazi kwa mtu.

edward55

Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
11
Reaction score
2
kwa kifupi mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 22 naishi DAR ES SALAAM natafuta kazi kwa mtu.elimu yangu ni form 4 na nina ujuzi katika ufundi wa computer.naweza fanya nyumbani kwa makubaliano mkoa wowote asanteni.
 
Baba jiajiri mwnyw usisubiri kuajiriwa utasugua xana. Cha msingi we tafuta sehemu hata kama ni home kuna kanafasi andika bango la kujipresent talent yako, anza kazi watakuja 2. Ila usiwe muoga wa kujaribu i hope utafanikiwa. Mahitaji: compyuta yako moja ya kuwa uzia uwoga na vikorokoro vidogo vidogo km fundi utakuwa unavijua km cd za window, uza program kwa atakae.
 
Back
Top Bottom