Natafuta kazi kitengo cha finance

Natafuta kazi kitengo cha finance

qurious

Senior Member
Joined
Jan 13, 2012
Posts
118
Reaction score
77
habari ndugu na jamaa mimi ni mwanafunzi nimemaliza ifm mwaka 2013 degree ya banking na finance.kwa sasa natafuta kazi kwenye kàmpuni yoyote yenye kitengo cha finance inayolipa vizuri.najiamini kw3nye utendaji wangu wa kazi nikielekezwa nina uwezo mzuri wa kufanya kazi.
 
habari ndugu na jamaa mimi ni mwanafunzi nimemaliza ifm mwaka 2013 degree ya banking na finance.kwa sasa natafuta kazi kwenye kàmpuni yoyote yenye kitengo cha finance inayolipa vizuri.najiamini kw3nye utendaji wangu wa kazi nikielekezwa nina uwezo mzuri wa kufanya kazi.

Njoo polisi tujenge nchi kk
 
Eti inayolipa vizuri!kwa kipi special ulichonacho labda?
 
Eti inayolipa vizuri!kwa kipi special ulichonacho labda?

kila Mtu ni special hapa duniani....ana upekee wa aina yake in najiamini Nina uwezo mzuri wa kufànya kazi vizuri nikielekezwa.
na nimekuja hapa kwa lengo la kupata msaada
 
Tatizo wadada wa ifm udada duu mwingi wadada wapo kibao jeshini mimi mwenyew nimefundishwa na mulamula na dr mzava

hata Mimi nimefundishwa na hao walimu.vilevile usijudge Mtu usiyemjua na ukadhani tabia ya Mtu kwa fikra
 
kila Mtu ni special hapa duniani....ana upekee wa aina yake in najiamini Nina uwezo mzuri wa kufànya kazi vizuri nikielekezwa.
na nimekuja hapa kwa lengo la kupata msaada

Sasa msaada gani wa masharti,inayolipa vizuri wakati hata iyo isiyolipa vizuri hujapata! Nahitaji kijana wa kiume nina Microfinance. Tangazo lipo hapa JF.
 
Kazi nyingi tu za finance na accounting huwa zinatangazwa, ujitahidi kua unasoma magazeti hasa daily news na habari leo huwa yanapata sana matangazo, pia uwe unatembelea mitandao sana,jitahidi kua unatuma sana application. Usikate tamaa.
 
Ishu ya ajira msiifanyie utani guys... hujui kahangaika kiasi gn mpaka kuamua kuleta uzi humu... if hyna msaada shut the f** up!!! Pole dada jitahd kuaply usikate tamaa, tembelea sn zoom na omba ata sehem za kujitolea!!!
 
chamsingi omba kazi sana na achana na habari za higher earning job. Pata kazi utengeneze experience then tafuta izo za hela nyingi sasa.
mi ni hayo tu!
 
habari ndugu na jamaa mimi ni mwanafunzi nimemaliza ifm mwaka 2013 degree ya banking na finance.kwa sasa natafuta kazi kwenye kàmpuni yoyote yenye kitengo cha finance inayolipa vizuri.najiamini kw3nye utendaji wangu wa kazi nikielekezwa nina uwezo mzuri wa kufanya kazi.


Nenda ZoomTanzania.com/amcat/certification Kuna assessment za watu wanaotaka kazi. Unafanya bure na majibu unayapata bure
 
habari ndugu na jamaa mimi ni mwanafunzi nimemaliza ifm mwaka 2013 degree ya banking na finance.kwa sasa natafuta kazi kwenye kàmpuni yoyote yenye kitengo cha finance inayolipa vizuri.najiamini kw3nye utendaji wangu wa kazi nikielekezwa nina uwezo mzuri wa kufanya kazi.
0785 120 140 nichek kawaida
 
habari ndugu na jamaa mimi ni mwanafunzi nimemaliza ifm mwaka 2013 degree ya banking na finance.kwa sasa natafuta kazi kwenye kàmpuni yoyote yenye kitengo cha finance inayolipa vizuri.najiamini kw3nye utendaji wangu wa kazi nikielekezwa nina uwezo mzuri wa kufanya kazi.
Niuzie hvyo vyeti vyako
 
Back
Top Bottom