Natafuta kazi/kibarua

Natafuta kazi/kibarua

Nuruh

Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
10
Reaction score
0
Tafadhali naomba mnisaidie wana jf.Natafuta kazi/kibarua au kazi yoyote naweza fanya.nina ujuzi wa computer na elimu yangu imeishia advance certificate.mimi ni muaminifu na mchapa kazi.sichagui kazi coz nimechoka kukaa nyumbani.
 
advance certificate ya nini? kazi gani unatafuta, una umri na uzoefu gani? unataka kazi ka kulipwa kuanzia bei gani??
 
jibu swali usaidiwe kijana.
mdau amejitokeza kukupa msaada
 
Nuru usikonde. Usione wako kimya. Wanafanya mawasiliano. Soon watarudi kwako.

Kesho au mara nyingine ukiwa unaandika bango kama ili, andika taratibu, kisha jitahidi details zako zoote za muhimu unaziweka ili msomaji asipate kuuliza maswali.

Mfano:
-Jina sio muhimu.
-Jinsia na Umri (Kuna kazi unaweza mpa mtu ikawa as if child labour, kesi)
-Mahali ulipo.
-Elimu yako ya mwisho (Highest Level)
-Uzoefu wa kazi.
-Ujuzi mwingine kama computer knowledge, driving etc

Yaani unakua kama umeweka kaji-CV kako kidogo hapa.

Soon watakutafuta wakuu.
 
Last edited by a moderator:
Nuru usikonde. Usione wako kimya. Wanafanya mawasiliano. Soon watarudi kwako.

Kesho au mara nyingine ukiwa unaandika bango kama ili, andika taratibu, kisha jitahidi details zako zoote za muhimu unaziweka ili msomaji asipate kuuliza maswali.

Mfano:
-Jina sio muhimu.
-Jinsia na Umri (Kuna kazi unaweza mpa mtu ikawa as if child labour, kesi)
-Mahali ulipo.
-Elimu yako ya mwisho (Highest Level)
-Uzoefu wa kazi.
-Ujuzi mwingine kama computer knowledge, driving etc

Yaani unakua kama umeweka kaji-CV kako kidogo hapa.

Soon watakutafuta wakuu.

asante kwa kunielewesha mkuu.halitarudia kosa kama hili.
 
Last edited by a moderator:
Nuruh kuwa makini na wakware wasije wakatumia loop hole kukutumia kimwili,take care ukiona mtu haelewi msanukie tu!
 
Nina advance certificate ya fish processing,marketing and quality assurance.nina ujuzi wa computar pia.natafuta kazi yoyote kwa atakae ona ninamfaa plz.nina 24yrs,naishi Dar es salaam

type ya kazi unayotafuta!! huwezi tafuta tu kazi yoyote ndufu!! It means hata u baamed pia au housgirl??

kuwa serious na toa maelezo ya kutosha usaidiwe...............!! Unajua Lugha vizuri??
 
Jitahid kywa makin maana kuna matapel hatariiiii xawa dada
 
Tafadhali naomba mnisaidie wana jf.Natafuta kazi/kibarua au kazi yoyote naweza fanya.nina ujuzi wa computer na elimu yangu imeishia advance certificate.mimi ni muaminifu na mchapa kazi.sichagui kazi coz nimechoka kukaa nyumbani.

Kwa bahati mbaya we ni mdada, kazi niliyonayo inahitaji mkaka bwana kidogo ni ya nguvu. All the best lakin atajitokeza mwingine kukupa kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom