Natafuta kazi kibarua chochote cha halali

Ally A

Member
May 30, 2017
16
6
Habari jaman naitwa Ally naishi dar es salaam kiukwel hali ni ngumu sana sasa hivi tafadhali naomba msaada wenu nimehangaika sana kutafuta kazi lkn cjapata mafanikio yoyote na nimemaliza kidato cha nne.

Na nina uzoefu na biashara na pia niliwahi kuwa supervisor kwa mwaka mmoja katika bar moja kubwa hapa mjini inatwa LACHAZ ipo sinza mori.

Naombeni msaada wenu kazi yoyote ile ambayo itaweza kunipatia chchte cha kunisaidia mimi na kuweza kuisaidia familia yangu
 
Habar jaman naitwa Ally naishi dar es salaam kiukwel hali ni ngumu sana sasa hvi tafadhal naomba msaada wenu nimehangaika sana kutafuta kazi lkn cjapata mafanikio yyte na nimemaliza kidato cha nne na nina uzoef na biashara na pia niliwah kuwa supervisor kwa mwaka mmoja katka bar moja kubwa hapa mjini inatwa LACHAZ ipo sinza mori
Naomben msaada wenu kazi yyte ile ambayo itaweza kunipatia chchte cha kunisaidia mm na kuweza kuisaidia familia yangu
Na pia ninayo passport ya kusafiria please naomba nisaidieni namba yngu hii 0659221090
 
We ulipia kura chama gani?

Je,Chama chako kilikuahidi nini kwenye sera ya ajira?Kama hakikutoa ahadi kwanini ulikichagua!Je,Kama kwa sasa upo na mtazamo wa chama kinachofuta ajira ama kitacholeta ajira?
 
Jiajiri kamanda au nenda sehemu watu wanaosha magari ongea nao wakupe deal na wewe upate cents. Kwa elimu yako kupata formal employment ni ngumu maana kwa sasa hata wenye masters wanaisoma namba
 
Habari jaman naitwa Ally naishi dar es salaam kiukwel hali ni ngumu sana sasa hivi tafadhali naomba msaada wenu nimehangaika sana kutafuta kazi lkn cjapata mafanikio yoyote na nimemaliza kidato cha nne.

Na nina uzoefu na biashara na pia niliwahi kuwa supervisor kwa mwaka mmoja katika bar moja kubwa hapa mjini inatwa LACHAZ ipo sinza mori.

Naombeni msaada wenu kazi yoyote ile ambayo itaweza kunipatia chchte cha kunisaidia mimi na kuweza kuisaidia familia yangu
Una umri gani na unaweza fanya biashara gan
 
Habari jaman naitwa Ally naishi dar es salaam kiukwel hali ni ngumu sana sasa hivi tafadhali naomba msaada wenu nimehangaika sana kutafuta kazi lkn cjapata mafanikio yoyote na nimemaliza kidato cha nne.

Na nina uzoefu na biashara na pia niliwahi kuwa supervisor kwa mwaka mmoja katika bar moja kubwa hapa mjini inatwa LACHAZ ipo sinza mori.

Naombeni msaada wenu kazi yoyote ile ambayo itaweza kunipatia chchte cha kunisaidia mimi na kuweza kuisaidia familia yangu
Unaweza kufanya kazi nyingine za aina gani?
 
Jiajiri kamanda au nenda sehemu watu wanaosha magari ongea nao wakupe deal na wewe upate cents. Kwa elimu yako kupata formal employment ni ngumu maana kwa sasa hata wenye masters wanaisoma namba
Asante kwa ushaur
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom