Natafuta kazi jamani

Natafuta kazi kwa muda mrefu sasa ila sijapata.
nimesomea IT

IT ni eneo kubwa.. umesomea nini na unatafuta kazi sehemu ipi ya IT? Una Digrii, Diploma and Certificate? Toa maelezo zaidi ili tujue jinsi ya kukusaidia!!
 
IT ni eneo kubwa.. umesomea nini na unatafuta kazi sehemu ipi ya IT? Una Digrii, Diploma and Certificate? Toa maelezo zaidi ili tujue jinsi ya kukusaidia!!

sawa kabisa don generalize thingz.
 
Hata kama mimi ningekua naajiri, au natafuta mtu wa IT, wewe ningeshindwa kukusaidia - jinsi tu ulivyojieleza inaweza kuwa sababu ni kwa nini hupati kazi!

Watu wengi tumesahau kuwa professional/career ni bidhaa, kama zilivyo bidhaa nyingine kama nyanya, sukari n.k - you need to market it and make people buy it!

Sasa wewe umesema:
Natafuta kazi kwa muda mrefu sasa ila sijapata.
nimesomea IT
- Sasa hapa wana JF watakusaidiaje? Learn how to market yourself.

Pili, kama challenge. Hapa Tanzania IT bado ina nafasi kubwa sana, hasa kwenye soko la kujiajiri. Mimi pia nipo field hii - sijui qualification yako but mimi nilisoma BSc Computer Science hapa Mlimani.

Sikuwahi kutafuta ajira wala kuandika CV - I just chose to be self employed. It's been two years, I work as a consultant for different projects and I earn several times more than my colleagues we went to school together.

Kama kweli you can work independently and deliver something, halafu umeshindwa kupata kazi - try to employ yourself and work from home dude, it pays off!
 
Hata kama mimi ningekua naajiri, au natafuta mtu wa IT, wewe ningeshindwa kukusaidia - jinsi tu ulivyojieleza inaweza kuwa sababu ni kwa nini hupati kazi!

Watu wengi tumesahau kuwa professional/career ni bidhaa, kama zilivyo bidhaa nyingine kama nyanya, sukari n.k - you need to market it and make people buy it!

Sasa wewe umesema:
Natafuta kazi kwa muda mrefu sasa ila sijapata.
nimesomea IT - Sasa hapa wana JF watakusaidiaje? Learn how to market yourself.

Pili, kama challenge. Hapa Tanzania IT bado ina nafasi kubwa sana, hasa kwenye soko la kujiajiri. Mimi pia nipo field hii - sijui qualification yako but mimi nilisoma BSc Computer Science hapa Mlimani.

Sikuwahi kutafuta ajira wala kuandika CV - I just chose to be self employed. It's been two years, I work as a consultant for different projects and I earn several times more than my colleagues we went to school together.

Kama kweli you can work independently and deliver something, halafu umeshindwa kupata kazi - try to employ yourself and work from home dude, it pays off!
du!!!
 
No wonder that's why hupati ajira na hutakaa upate ajira kwa jinsi ulivyojimarket na kuendelea kubehave hivohivo (huedit post yako baada ya ushauri, hujibu maswali unayoulizwa japokuwa upo online) hapa.
 
No wonder that's why hupati ajira na hutakaa upate ajira kwa jinsi ulivyojimarket na kuendelea kubehave hivohivo (huedit post yako baada ya ushauri, hujibu maswali unayoulizwa japokuwa upo online) hapa.

wacha nim-PM kwanza.
 
Hata kama mimi ningekua naajiri, au natafuta mtu wa IT, wewe ningeshindwa kukusaidia - jinsi tu ulivyojieleza inaweza kuwa sababu ni kwa nini hupati kazi!

Watu wengi tumesahau kuwa professional/career ni bidhaa, kama zilivyo bidhaa nyingine kama nyanya, sukari n.k - you need to market it and make people buy it!

Sasa wewe umesema:
Natafuta kazi kwa muda mrefu sasa ila sijapata.
nimesomea IT - Sasa hapa wana JF watakusaidiaje? Learn how to market yourself.

Pili, kama challenge. Hapa Tanzania IT bado ina nafasi kubwa sana, hasa kwenye soko la kujiajiri. Mimi pia nipo field hii - sijui qualification yako but mimi nilisoma BSc Computer Science hapa Mlimani.

Sikuwahi kutafuta ajira wala kuandika CV - I just chose to be self employed. It's been two years, I work as a consultant for different projects and I earn several times more than my colleagues we went to school together.

Kama kweli you can work independently and deliver something, halafu umeshindwa kupata kazi - try to employ yourself and work from home dude, it pays off!

Mpe mikakati ya kujiajiri unaweza kuta hata capital ni kasheshe pia au mkaribishe kwenye ofisi yako work as a team
 
Mpe mikakati ya kujiajiri unaweza kuta hata capital ni kasheshe pia au mkaribishe kwenye ofisi yako work as a team


Firstlady, capital sio kitu cha kwanza katika kujiajiri - cha kwanza ni WAZO.

You need clear plans of what you are going to do, alafu ndio unaangalia upande wa capital. Ili ufanikiwe kwenye kujiajiri, inahitaji uwezo mzuri wa kufikiria na kufanya maamuzi - kitu ambacho kwa huyu mwenzangu nimeshaona doa.

Watu wamemuuliza maswali mengi humu, hata wakati akiwa online bado - lakini amekaa kimya, hajajibu wala ku edit post yake - what picture can you draw out of this person?

JF ni sehemu ya kuelimishana. Ni kweli wote hatuna uwezo sawa wa kufikiri, lakini uwezo wako hauta kua kama utaogopa kujibu hoja kwa kukaa kimya. Fanyia kazi mawazo ya watu, unapokosolewa chukulia kama ndio jinsi ya kujifunza. Ni bora uaibike hapa JF kuliko kuaibika kwenye interview.

If he doesn't communicate, basi JF hatuwezi kumsaidia!
 
kijana kweli anataka kazi au anatania? sasa hapa hatujuani anashindwa kujieleza, je akiitwa interview si itakuwa balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom