Natafuta kazi jamani nimechoka kukaa mtaani

Natafuta kazi jamani nimechoka kukaa mtaani

solanum

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
203
Reaction score
99
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wa kiume mwaminifu, nina bachelor degree of science in food science and technology, nimemaliza mwaka jana (2015). Nimeangaika sehemu mbalimbali kutafuta kazi lakini mpaka sasa sijafanikiwa kwa lolote lile yaani mtaani maisha ni magumu kupindukia inafikia wakati nalala na njaa kwa kukosa hela jamani. Naamini humu wapo watu wenye makampuni, viwanda naombeni jamani kwa atakaekua na kazi anisaidie, hivi sasa nipo tayari kufanya kazi yoyote iliyo halali ili mradi nipate kipato. Nipo Dar es salaam, napatikana muda wowote 0758 106 501
 
Pole sana, hii post yako nimeisoma hadi nimekuhurumia ndugu yangu! Mie sina msaada wa kukupatia kazi, ila nakuombea dua zangu kwa Mwenyezi Mungu akushushie mkono wake upate shughuli halali ya kukupatia kipato ili uepukane na janga la kulala na njaa
 
Pole sana, hii post yako nimeisoma hadi nimekuhurumia ndugu yangu! Mie sina msaada wa kukupatia kazi, ila nakuombea dua zangu kwa Mwenyezi Mungu akushushie mkono wake upate shughuli halali ya kukupatia kipato ili uepukane na janga la kulala na njaa
Ahsante mkuu
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana wa kiume mwaminifu, nina bachelor degree of science in food science and technology, nimemaliza mwaka jana (2015). Nimeangaika sehemu mbalimbali kutafuta kazi lakini mpaka sasa sijafanikiwa kwa lolote lile yaani mtaani maisha ni magumu kupindukia inafikia wakati nalala na njaa kwa kukosa hela jamani. Naamini humu wapo watu wenye makampuni, viwanda naombeni jamani kwa atakaekua na kazi anisaidie, hivi sasa nipo tayari kufanya kazi yoyote iliyo halali ili mradi nipate kipato. Nipo Dar es salaam, napatikana muda wowote 0758 106 501
Hivi food Science mnahama mambo ya usindikaji wa vyakula?
 
Mkuu njoo tufanye biashara ya kusindika chakula,Kufanya packaging nzuri, mtaji wa wangu
 
Angalia Na Fursa Za Shamba, Unaweza Ukalima Na Kuchakata Mazao Yako
 
Ndugu yang cha kukushaur ni kwamba Kwa kuwa Ulisoma Sayansi advanced level.. Basi nenda kasome post graduate ya education mwaka mmoja tuu na ukimaliza utapata ajira serikalini bado uhitaji wa walimu wa Sayansi ni mkubwa Sana. Huo ndo ushauri Wang kama utaupenda ili ujipatie ajira ya kudumu.
 
Back
Top Bottom