OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Wakuu habari za wakati, natumai mko salama kabisa.
Mimi ni muhitimu wa kozi ya ununuzi na ugavi ngazi ya shahada (Bachelor in Procurement & Logistic Management) kutoka Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA).
Jinsia yangu ni me niko hapa hapa jijini Arusha kwa sasa. Hivyo basi naomba kwa yeyote mwenye na uwezo wa kunisadia kupata moja vipengele tajwa hapo juu (kazi au Internship) nitashukuru sana.
Nipo tayari kwenda mkoa wowote hapa Tanzania au hata nje nchi.
Mawasiliano yangu ni 0694 154 420.
Email: piusbilaspaul@gmail.com
Asanteni.
Mimi ni muhitimu wa kozi ya ununuzi na ugavi ngazi ya shahada (Bachelor in Procurement & Logistic Management) kutoka Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA).
Jinsia yangu ni me niko hapa hapa jijini Arusha kwa sasa. Hivyo basi naomba kwa yeyote mwenye na uwezo wa kunisadia kupata moja vipengele tajwa hapo juu (kazi au Internship) nitashukuru sana.
Nipo tayari kwenda mkoa wowote hapa Tanzania au hata nje nchi.
Mawasiliano yangu ni 0694 154 420.
Email: piusbilaspaul@gmail.com
Asanteni.