mtanzalendo
Member
- Aug 29, 2014
- 74
- 121
Ndugu zangu, mimi mbele yenu ni kijana wa miaka 31 najitokeza mbele yenu kupata msaada wa ushauri au connection.
Mimi ni mwalimu by profession ,nimefundisha kwa miaka 7 sasa .
Nina degree ya education na masters ya public administration .
Nimefundisha secondary na primary.
Naomba mnisaidie ni jinsi gani maweza kuama hii fani ya ualimu.
Uzoefu wangu wa kazi
Mwalimu wa secondary miaka mitatu. ( academic master)
Mwalimu wa primary - english medium miaka 4 ( head of department & principal )
Regional research supervisor mwezi mmoja - survey ya muhimbili university
Sababu za kuama ualimu.
1. Nimeitumikia vya kutosha kazi hii nataka nipate uzoefu mpya.
2. Maslahi ya hii kazi ni madogo mno kiasi kwamba miaka saba kwenye kazi nimejifanyia tathmini sioni hatua yoyote ya maana niliyopiga. Maisha yangu wakati naanza kazi na sasa hayana tofauti nachokipata ni hand to mouth. Majukumu yamekuwa mengi mno sina budi kusonga mbele .
3. Nataka kubadilisha kazi, nimefanya juhudi kwa kujinyima nikasoma masters ya fani tofauti japo mpaka sasa sijapata mrejesho mzuri naamini ndugu zangu mtanisaidia.
Uwezo wangu wa kazi.
Ninaweza kusimama na kufundisha mbele za watu, kuandaa somo na kupima matokeo.
Ninauwezo wa usimamizi wa mradi,ofisi au majukumu yoyote.
Ninauwezo wa kutumia computer programs kama ms word, excel,power point .
Nina uwezo wa kubuni miradi, kuandika mradi na kuusimamia.
Ninafahamu labour law.
Mimi ni muaminifu, muadilifu na mchapa kazi napofanya kazi naifanya haswa.
So naomba sana ndugu zanguni mnisaidie kupata kazi yoyote nje ya fani ya ualimu wa shuleni. Nipo tayari kuanza upya kama trainee au volunteer ilo halina shaka . Nipo tayari kwa kazi yoyote haijalishi elimu yangu wala experience.
Mpaka nimekuja hapa mbele yenu nimezunguka sana karibu ofisi zote Dsm bila mafanikio ata kuvolunteer. Uwezo wangu wa kibinadamu wa kufikiri umefika mwisho.
Naomba ataesoma hapa aguswe na kutoa msaada kwa kadri ya uwezo wake na Mungu atamlipa mara nyingi zaidi.
Kwa mawasiliano .
Unaweza kuniPm
au kunicheki kwa email mzalendo255@gmail.com
mzalendo255 at gmail.com
Mimi ni mwalimu by profession ,nimefundisha kwa miaka 7 sasa .
Nina degree ya education na masters ya public administration .
Nimefundisha secondary na primary.
Naomba mnisaidie ni jinsi gani maweza kuama hii fani ya ualimu.
Uzoefu wangu wa kazi
Mwalimu wa secondary miaka mitatu. ( academic master)
Mwalimu wa primary - english medium miaka 4 ( head of department & principal )
Regional research supervisor mwezi mmoja - survey ya muhimbili university
Sababu za kuama ualimu.
1. Nimeitumikia vya kutosha kazi hii nataka nipate uzoefu mpya.
2. Maslahi ya hii kazi ni madogo mno kiasi kwamba miaka saba kwenye kazi nimejifanyia tathmini sioni hatua yoyote ya maana niliyopiga. Maisha yangu wakati naanza kazi na sasa hayana tofauti nachokipata ni hand to mouth. Majukumu yamekuwa mengi mno sina budi kusonga mbele .
3. Nataka kubadilisha kazi, nimefanya juhudi kwa kujinyima nikasoma masters ya fani tofauti japo mpaka sasa sijapata mrejesho mzuri naamini ndugu zangu mtanisaidia.
Uwezo wangu wa kazi.
Ninaweza kusimama na kufundisha mbele za watu, kuandaa somo na kupima matokeo.
Ninauwezo wa usimamizi wa mradi,ofisi au majukumu yoyote.
Ninauwezo wa kutumia computer programs kama ms word, excel,power point .
Nina uwezo wa kubuni miradi, kuandika mradi na kuusimamia.
Ninafahamu labour law.
Mimi ni muaminifu, muadilifu na mchapa kazi napofanya kazi naifanya haswa.
So naomba sana ndugu zanguni mnisaidie kupata kazi yoyote nje ya fani ya ualimu wa shuleni. Nipo tayari kuanza upya kama trainee au volunteer ilo halina shaka . Nipo tayari kwa kazi yoyote haijalishi elimu yangu wala experience.
Mpaka nimekuja hapa mbele yenu nimezunguka sana karibu ofisi zote Dsm bila mafanikio ata kuvolunteer. Uwezo wangu wa kibinadamu wa kufikiri umefika mwisho.
Naomba ataesoma hapa aguswe na kutoa msaada kwa kadri ya uwezo wake na Mungu atamlipa mara nyingi zaidi.
Kwa mawasiliano .
Unaweza kuniPm
au kunicheki kwa email mzalendo255@gmail.com
mzalendo255 at gmail.com