right way
Member
- Jul 28, 2017
- 85
- 28
Habari waku na poleni na majukumu!
Nakuja kwa Mara nyingine kuwaomba msaanda wenu wa hali na mali natafuta kazi ya kufundisha taaluma yangu nina diploma ya ualimu ya chemistry na biology
Wakuuu nimesoma kwa shida mpaka kufanikisha kumaliza ila sikuweza kumaliza baadhi ya michango wakati nikiwa chuoni hivyo naombeni sana kazi kwa alionayo au anafahamu mahali nafasi ipo anisaidie pia mm nikijana hivyo pia naweza fanya kazi yoyote sio tuuu kaz ya kufunfundisha hivyo kama unayo kazi au unajua mahali kazi ipo nasaidie mkuuu ili niweze kukomboa vyeti vyangu baada ya kutoka mawasiliano pm Niko Tabora
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja kwa Mara nyingine kuwaomba msaanda wenu wa hali na mali natafuta kazi ya kufundisha taaluma yangu nina diploma ya ualimu ya chemistry na biology
Wakuuu nimesoma kwa shida mpaka kufanikisha kumaliza ila sikuweza kumaliza baadhi ya michango wakati nikiwa chuoni hivyo naombeni sana kazi kwa alionayo au anafahamu mahali nafasi ipo anisaidie pia mm nikijana hivyo pia naweza fanya kazi yoyote sio tuuu kaz ya kufunfundisha hivyo kama unayo kazi au unajua mahali kazi ipo nasaidie mkuuu ili niweze kukomboa vyeti vyangu baada ya kutoka mawasiliano pm Niko Tabora
Sent using Jamii Forums mobile app