Mimi ni msichana niliyezaliwa mkoa wa Morogoro nipo Iringa Chuo nasoma Mambo ya Biasha, kwa mwenye ndugu, jamaa hata rafiki au binafsi anayemiliki kampuni yoyote ya biashara mkoa wa Morogoro anisaidie hata namba za mmliki au jina la kampuni ili niweze kuomba kufanya fild.