Natafuta IST iliyo kwenye hali nzuri

Natafuta IST iliyo kwenye hali nzuri

baba mausingizi

Senior Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
189
Reaction score
120
Natafuta IST iliyo kwenye hali nzuri, iwe haijawahi pata ajali, haijarudiwa rangi no D.

Offer yangu ni milioni 7.

Mawasiliano ni 0766049522.
 
Nakuhakikishia kuwa kwa million saba kuna wabongo watachangamkia hiyo fursa wakupige.Mimi hata uniwekee bastola kwenye paji la uso sinunui gari kutoka kwa rangi nyeusi!
 
Ushuru tu si chini ya mil 6 TRA akiagiza ahsee.Nunua tu used kwa mtu hapa bongo.Atajipa stress kutafuta pesa ya kuongezea
Gari nzee haiponi. Atanunua kwa m7, ataweka m1 kuikarabati tayari itafika kwenye nane!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom