Natafuta internship ya data collection, entry na analysis

Natafuta internship ya data collection, entry na analysis

Janemo

Senior Member
Joined
Aug 17, 2016
Posts
106
Reaction score
38
Habari zenu wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, ninaishi Dar es salaam.
Ninatafuta internship/ nafasi ya kujitolea katika kampuni/ kiwanda , nina degree ya environmental studies and management GPA yangu ni second upper class wakati wa field in 2014 na 2015 nilifanyia *National ENvironmental Managemental Council Dar es salaam*


Lakini bado nina uhitaji mkubwa wa kuweka yale nilosoma chuoni katika matendo( kujifunza kwa vitendo) ili niweze kwenda sawa na soko la ajira la sasa nina uwezo wa kuelewa jambo kwa haraka pindi napoelekezwa pia kufanya kazi bila kusukumwa sukumwa

Nina ujuzi wa computer( word,excel ,power point, publisher ), ninauwezo wa kufanya data entry and analysis kwa kutumia Statistal Package of Social Science ( SPSS). Pia nina ujuzi katika kuandaa proposal ,kukusanya data, kuandika report

Ninauwezo pia wa kufanya EIA( environmental impacy assessment na EA( environmental auditing .


Zifuatazo ni baadhi ya course nilizosoma
Remote sensing
Energe resources
EIA & EA
Environmental psychology
Environmental statistics
Anthropology
Environmental economics
Environmental ecology
Pollution control technologies
Waste management including waste waters
Hydrology
Environmental disaster
Population
Environmental Geology
Mining and environment
Limnology
Reserch
Environment and development
Urbun planning and environment
Environmental chemistry

Hizi ni baadhi tu ya course chache nilizosoma.
Kwa kampuni , kiwanda au mtu binafs au anahitaji mtu wa data collection, entry and analysis au EIA/EA
Tuwasiliane kwa namba 0673216816.
 
Ngoja wenye kampuni waje ila hali ya ajira ni ngumu sana mkuu, jumatatu niliende nssf kinondoni (ubungo plaza) nilikutana na kundi la watu walio punguzwa kazini mwezi wa kwanza, lilikuwa kubwa kinoma aiseeh!

Ila jitahidi kutembelea kampuni unaacha cv yako, tembelea
1. BAKRESA
2. TBL
3. SERENGETI
4. VIWANDA VYOTE VYA CEMENT
5. ALAF
6. KIWANDA CHA NONDO
7. HELOUS TOWER TANZANIA, HTT
8. VIWANDA VYA GAS
9. MO
Huenda ukapata mkuu, jaribu maana mtembea bure siyo kama mkaa bure

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Ngoja wenye kampuni waje ila hali ya ajira ni ngumu sana mkuu, jumatatu niliende nssf kinondoni (ubungo plaza) nilikutana na kundi la watu walio punguzwa kazini mwezi wa kwanza, lilikuwa kubwa kinoma aiseeh!

Ila jitahidi kutembelea kampuni unaacha cv yako, tembelea
1. BAKRESA
2. TBL
3. SERENGETI
4. VIWANDA VYOTE VYA CEMENT
5. ALAF
6. KIWANDA CHA NONDO
7. HELOUS TOWER TANZANIA, HTT
8. VIWANDA VYA GAS
9. MO
Huenda ukapata mkuu, jaribu maana mtembea bure siyo kama mkaa bure

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Asante mkuu

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
PELEKA CV ESRF WANACHUKUA SANA WATU WA AINA HII

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
umemaliza SUA?

Sent from my MI 5s Plus using JamiiForums mobile app
 
Hapna

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom