Mimi ni graduate wa bachelor Degree of Business Administration in Marketing. Natafuta internship au kazi kama Customer Care, Sales Officer au Marketing Officer. Mwenye connection au atakayeweza kunisaidia hili tafadhali kwa sasa napatikana Dar.
Kama ipo tafadhali unaweza ukani dmMbona hujaacha mawasiliano yako!?
Chukua barua yako ya maombi ya field peleka tbl, Serengeti breweries,viwanda vya saruji, twiga, camel, na wale wa kimbiji, peleka tanga cement, peleka viwanda vya nondo lodhia, lake steel, kuna mwingine simkumbuki tafuta google, peleka hata kwenye hizi big project.Kama ipo tafadhali unaweza ukani dm
Kila sehem hapo utaambiwa corona imeharibuChukua barua yako ya maombi ya field peleka tbl, Serengeti breweries,viwanda vya saruji, twiga, camel, na wale wa kimbiji, peleka tanga cement, peleka viwanda vya nondo lodhia, lake steel, kuna mwingine simkumbuki tafuta google, peleka hata kwenye hizi big project. Don't limit yourself. Mtu aliesoma biashara anahitajika nyanja nyingi sio kwa Sababu umesoma marketing ung,ang,anie field moja. All the best
Ww peleka maombi acha ku assume majibu, bila kujaribu huwez kujua kigezo cha uwezo wako. So kwa ushauri wangu peleka popote unapoweza kufikiakila sehem hapo utaambiwa corona imeharibu
Mkabidhi hio laki moja.Kwanini usianzishe business yako na ukaisimamia wewe wenyewe?
Lengo la kwenda shule lilikuwa kupata maarifa kisha uje ufanye kazi. Sasa fursa nzuri na bora kwako kwa sasa ni kusimamia biashara yako.
Anza hata na mtaji wa laki moja, then utajiongeza taratibu.
Sidhani kuna mwanafunzi anakwenda shule kuongeza maarifa na si kutaka ajira.Kwanini usianzishe business yako na ukaisimamia wewe wenyewe?
Lengo la kwenda shule lilikuwa kupata maarifa kisha uje ufanye kazi. Sasa fursa nzuri na bora kwako kwa sasa ni kusimamia biashara yako.
Anza hata na mtaji wa laki moja, then utajiongeza taratibu.
wapo.. wengi ni wahindi na waarabuSidhani kuna mwanafunzi anakwenda shule kuongeza maarifa na si kutaka ajira.
But sio waafrika si ndio?!wapo.. wengi ni wahindi na waarabu
kwa asili sio waafrika ila kwa kuzaliwa (citizenship by birth) ni Waafrika.But sio waafrika si ndio?!
Hello, sure you may.And me too?
Asante kwa kunisaidiaMkabidhi hio laki moja.
naomba nitafute kwa namba 0765374146Mimi ni graduate wa Bachelor Degree of Business Administration in Marketing. Natafuta internship au kazi kama Customer Care, Sales Officer au Marketing Officer. Mwenye connection au atakayeweza kunisaidia hili tafadhali kwa sasa napatikana Dar.