Heshima mbele wakuu.-
Natafuta Internet yenye bei nzuri kwa matumizi ya office. Point to point ni nzuri na nipo tyr kupokea ushauri lakini nataka unlimited.-Yeyote mwenye ushauri please naomba kwa pm au hapa.
Heshima mbele wakuu.-
Natafuta Internet yenye bei nzuri kwa matumizi ya office. Point to point ni nzuri na nipo tyr kupokea ushauri lakini nataka unlimited.-Yeyote mwenye ushauri please naomba kwa pm au hapa.
Naomba msaada na mimi. Ofisi niliyokuwa nafanyia kazi zamani pale KISARAWE nao wanahitaji internet connection -unlimited. Nadhani kule hakuna TTCL broadband. What are other options?
Nawasaidia jamaa zangu tu.