Natafuta hospitali ya kujitolea Mwanza-Nursing.

Natafuta hospitali ya kujitolea Mwanza-Nursing.

Deva

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
1,238
Reaction score
1,819
Habari za muda huu wakuu.

Wiki mbili mbele kutoka sasa nitakuwa free likizo kwa muda wa mwezi mmoja, kuliko kukaa bure nyumbani, nimeona nitafute mahali pa kujitolea huku nikiongeza ujuzi kwenye kada yangu.

Hivyo basi kama una ndugu, rafiki, anayeweza kunisaidia nafasi ya kujitolea kwenye hospital, nipo tayari

Nimemaliza Miaka miwili ya nursing certificate NTA Level 4&5, nina ufahamu kwenye General nursing na Midwifery pia.

Ninaweza kufanya kazi

Male ward
Female ward
Children ward
ICU
Labor
Maternity
RCH

Mwanza maeneo ya mjini itakuwa rahisi zaidi maana ninajitolea, nitakuja kwa gharama yangu nikiwa natokea nyumbani, mwenye uhitaji tafadhali naomba aniPm.

Asanteni.
 
Kama ni kujitolea, ni vizuri ungetafuta wewe mwenyewe maeneo ya karibu na unapokaa- peleka hilo ombi lako ukiwa na ushahidi wa taaluma yako naamini utapokelewa. Ila ingependeza zaidi kama ungetafuta part time hospitali ya binafsi ili ukimaliza rikizo upewe na posho kwa kazi uliyowasaidia.
 
Kama ni kujitolea, ni vizuri ungetafuta wewe mwenyewe maeneo ya karibu na unapokaa- peleka hilo ombi lako ukiwa na ushahidi wa taaluma yako naamini utapokelewa. Ila ingependeza zaidi kama ungetafuta part time hospitali ya binafsi ili ukimaliza rikizo upewe na posho kwa kazi uliyowasaidia.
Sawa nashukuru sana mkuu kwa mawazo yako.
 
Sawa nashukuru sana mkuu kwa mawazo yako.
Salute
Mkuu ni jambo zuri sana ulilopanga kulifanya aisee lakini mkuu kwanini usingechagua kwenda zile zahanati/hospital za vijijini kwenye shida ya wauguzi
 
Salute
Mkuu ni jambo zuri sana ulilopanga kulifanya aisee lakini mkuu kwanini usingechagua kwenda zile zahanati/hospital za vijijini kwenye shida ya wauguzi
Kujitolea inamaanisha bila malipo, faida yangu mimi ni kuongeza ujuzi kwenye fani hii ina maanisha kuwa nitafanya hivyo nikitokea nyumbani.

Kwenda huko ni gharama.
 
Kujitolea inamaanisha bila malipo, faida yangu mimi ni kuongeza ujuzi kwenye fani hii ina maanisha kuwa nitafanya hivyo nikitokea nyumbani.

Kwenda huko ni gharama.
Safi kama ni kwa ajili ya kuongeza ujuzi basi ni vizuri zaidi...
 
Habari za muda huu wakuu.

Wiki mbili mbele kutoka sasa nitakuwa free likizo kwa muda wa mwezi mmoja, kuliko kukaa bure nyumbani, nimeona nitafute mahali pa kujitolea huku nikiongeza ujuzi kwenye kada yangu.

Hivyo basi kama una ndugu, rafiki, anayeweza kunisaidia nafasi ya kujitolea kwenye hospital, nipo tayari

Nimemaliza Miaka miwili ya nursing certificate NTA Level 4&5, nina ufahamu kwenye General nursing na Midwifery pia.

Ninaweza kufanya kazi

Male ward
Female ward
Children ward
ICU
Labor
Maternity
RCH

Mwanza maeneo ya mjini itakuwa rahisi zaidi maana ninajitolea, nitakuja kwa gharama yangu nikiwa natokea nyumbani, mwenye uhitaji tafadhali naomba aniPm.

Asanteni.
Check na Bugando
 
Back
Top Bottom