Natafuta hii ngoma ya hip hop

Natafuta hii ngoma ya hip hop

Tamu chungu

Member
Joined
Dec 20, 2015
Posts
85
Reaction score
64
Huu wimbo sikumbuki ni msanii gani aliimba ila Mr Blue alishirikishwa kwenye chorus na kiitikio chake kilikua kina sema "me sielewi aaaaaaaah,anataka nini aaaaaaah.....ina biti nzito na jamaa alichana vyakutosha na kuna mstari jamaa alichana unasema "si uliniona high yani kama vile jero"


Mwenye nao naomba anisidie naukubali sana....ni wa miaka mingi kdg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom